Thursday, October 17, 2019

Siri ya kujazwa nguvu kila wakati. The secret of being filled with power all the time.

Bwana Yesu asifiwe!
Praise the be to Jesus!
I want we take a short time to the secrets of being filled with power ( holy spirit power) all the time.
Nataka tuchukue muda mfupi kuangalia siri za kujazwa nguvu ( nguvu za roho mtakatifu) kila wakati.

Tutazame maandiko...
Let's see the scriptures....

Marko 1:35
Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.

Mark 1:35
And in the morning, rising up a great while before day, he went out, and departed into a solitary place, and there prayed.

Tunamuona Yesu akiondoka alfajiri na mapema kujitenga mahali na kuomba.
-(Asubuhi na mapema = Inaonesha kitu cha kwanza kabisa na cha thamani)
-(Mahali pasipokuwa na watu= Inaonesha utulivu na kujitenga mbali na kila mawazo na fikra za tofauti zozote)
-(Kuomba=Inaonesha kumwitaji Mungu na kunyenyekea kwake)

We see Jesus departing in early morning to a solitary place and praying.
-(Early morning=Shows the first valuable thing)
-(Solitary place=Shows a quite place away from any disturbances and every disturbing thoughts)
-(Praying=Shows the humbled heart and one in need of God's assistance)

So before we take a leap to other secrets lets take a close look on to this one as a question..
Do you have time to refuel/refill and strengthen your spirit?
Yes you fasted last week but God has new things for you everyday!
  Take time to a solitary place severally and your connection with the Holy spirit will be strong his powers will be coming out from you every time.

Hivyo kabla ya kupiga hatua kuangaliasiri zingine, tuangalie hii moja kama kwa swali...
Je una muda wako wa kujiimarisha? Na kuimarisha mahusiano yako na Mungu?
Ndio ulifunga wiki Jana lakini kumbuka Mungu anamambo mapya kwa ajili yako kila siku.
Chukua hatua uwe na muda wa kujitenga Mara kwa Mara na muunganiko wako na roho mtakatifu yataimarika sana zaidi nguvu zake zitatoka ndani yako kila siku kila saa..

Other secrets
-The word of God
Siri zingine
-Neno la Mungu

Be blessed as you follow.....
Ubarikiwe unavyozidi kufuatilia....

Why publishing everything to everyone? Kwanini utangaze kila kitu kwa kila mtu?

Should I publish and blaze about everything that God has done for me?
Je ni lazima nitangaze na niseme kila kitu alichonitendea Mungu?
Praise be to the Lord Jesus Christ!! Bwana Yesu Kristo asifiwe!!

Tunaishi katika dunia yenye mapambano mengi na vita vilivyojificha sana. Ni muhimu sana kushudia yale mambo Mungu amekutendea, lakini sio sheria ushuhudie kila kitu. Kumbuka sio watu wote wanaokusikiliza wanayafurahia hayo hivyo sababu hii inatupa msingi wa kuwa na kiasi katika kushuhudia/ kuyasema yale ambayo Mungu ametutendea.
We live in a world with so much wars and hidden battles. Yes it is important to share and publish the things that God has done for us yet its not necessarily a law that you must share everything.
Remember that not everyone that listens to you are happy and comfortable about what you share and publish. Then this gives us a foundation of the measure what we should share and what we shouldn't.
What do you share with whom do you share and when do you share!
Look at the scriptures....
Tazama maandiko....

Marko 1:44.              
akamwambia, Angalia, usimwambie mtu neno lolote, ila enenda zako ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe alivyoamuru Musa kwa kutakasika kwako, iwe ushuhuda kwao.

Mark 1:44
And saith unto him, See thou say nothing to any man: but go thy way, shew thyself to the priest, and offer for thy cleansing those things which Moses commanded, for a testimony unto them.

Why speaking out everything?
Kwa nini utangaze kila kitu?
         Je, utapata hasara gani au madhara gani katika hayo uyasemayo?

        What are the effects of publishing or sharing what you shouldn't share?

Let's take a look at the scriptures again...
Tuangalie maandiko tena....

Marko 1:45

Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini kwa wazi; bali alikuwako nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila mahali.

Mark 1:45

But he went out, and began to publish it much, and to blaze abroad the matter, insomuch that Jesus could no more openly enter into the city, but was without in desert places: and they came to him from every quarter.

-We see here that Jesus could no longer enter the city openly.
-Tunaona hapa Yesu hakuweza tena kuingia mjini kwa wazi.

Its your time to evaluate your self, how many opportunities have you blocked out yourself by publishing everything, every time to everyone?, how many enemies have you increased through sharing what you were not supposed to share?

Ni muda wako wakujitathmini sasa, Ni fursa ngapi umejizibia kwa kutangaza kila kitu, kila Mara kwa kila mtu?, ni maadui wangapi umeongeza kwa kushirikisha na kutangaza yale ambayo hukupaswa kutangaza?

Be blessed as you continue following the word of life.
Ubarikiwe kama unavyoendelea kufuatilia neno la uzima.

Wednesday, October 16, 2019

MBEGU NA MAFANIKIO

MBEGU NA MAFANIKIO
Bwana Yesu asifiwe..
        Karibu katika siku yetu ya EEMC.
                           EEMC
ishi kwa malengo, timiza malengo yako.
Mfano wa kwanza.
Machine ya ATM na kadi ya ATM,
Ili utoe hela au upate hela, inabidi uwe na; kadi, Uwezo wa kufikia mashine ya kutoa hela, neno la siri la akaunti husika na pesa kwenye hiyo akaunti.

Tukubaliane Kuwa kila malengo yanamchakato wa kuyatimiza, kama hujaweka mchakato wakuyatimiza inamaana bado hayajawa malengo.

Litambue, lielewe kusudi lako, na kusudi la kufanya chochote ufanyacho.

Purpose,. Kivipi utatimiza malengo?
Tambua majira yako,
Kila mwanadamu anamajira makubwa mawili,
1-Kupanda
2-Kuvuna
Majira haya yana vitu vifuatavyo.
•Kunakuwekeza
•Mbegu
•Kukua
•Akiba
Mbegu
Kila mbegu inamajira yake ya Kupandwa,mahali pa kupanda, na namna ya upandaji.

MAFANIKIO YANATEGEMEA UFAHAMU WAKO JUU YA MAJIRA YA MBEGU ULIYONAYO.

Mtu anayefanya mambo kinyume cha utaratibu ameshindwa kutambua kusudi.

Kuwekeza.
Kuwekeza kwa ajili yako, Take care of your body, kanuni ya kwanza ya uwekezaji ni kuwa na afya nzuri.
Kula vizuri, mwili wako ni sehemu ya kwanza ya uwekezaji.
Weka bajeti nzuri ya kila matumizi yako.
Akiba
Weka akiba kwa ajili ya wakati ujao, itakusaidia kwa ajili ya kesho.
Weka akiba ya kuwekeza kwa ajili ya kesho, ili uweze kufikia malengo ya maisha yako.
    
     Ishi kwa malengo timiza malengo yako.

WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY

 ✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...