Wednesday, December 16, 2020

Kumtumaini Bwana.

Kumtumaini Bwana. Hope in the Lord
Yeremia 10;23
Mithali 16:9 Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali Bwana huziongoza hatua zake.
A man's heart deviseth his way: but the LORD directeth his steps.

Mwana wa Mungu jifunze kumtegemea Mungu maana yeye ndiye kilakitu

Kumtumaini Mungu kunaweka nanga katika maisha yako, ni kuweka msingi bora wa maisha yako...
Yesu ni nanga imara.
Kumtumaini Mungu ni nanga imara.

Zifahamu roho chafu zinazoweza kumuingia mtu.

Unclean spirits zinaudhi, kama zimekuudhi unahitaji uponyaji kabisa.  Unapomuona mtu ameanza maudhi maudhi ana asilimia kadhaa za roho chafu kuwa ndani yake, Je mtu anaweza kuwa na mapepo na yasijioneshe?(manifest): ndio lakini anapo kaa au anapokutana na uwepo wa nguvu za Mungu zinaleta madhara kwahivyo hizo roho chafu zinajidhihirisha au zinaweza kumuamrisha aondoke eneo hilo.
Nguvu zikiendelea kumuishia basi ile roho chafu humtoka

WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY

 ✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...