Tuesday, May 6, 2025

WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY

 ✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU

✓My people my responsibility

*NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKIWA YA FURAHA AU YA HUZUNI LAZIMA KUNA NAMNA YATAKUHUSU

It's important to understand that you'll be responsible for your people in everything. If they mourn or they celebrate in one way or another you'll be involved. 

*IKIWA UTASIMAMA KWA UAMINIFU NA KATIKA MAJUKUMU YAKO YOTE BILA KUONA HAYA BASI WATU WAKO WATAKUA SALAMA WAKIISIKIA SAUTI YA MUNGU KUPITIA KWAKO.

If you'll faithfully stand and in all your responsibility may be (as a leader/father), your people will be safe if they'll listen to the voice of God as He speaks through you.

*INAWEZA TOKEA BAADHI YAO WASIKUSIKILIZE, HAO WATAPATA HASARA KUBWA! SIO YA MALI TU HUENDA HATA MAISHA YAO. 

It might happen that they don't listen to you . They'll have great loss not only of material things or wealth but even their lives. 

*KAMA JAMBO BAYA LITATOKEA MAHALI NA MCHA MUNGU YUPO NA IKAWA KIMYA AU BILA TAARIFA BASI KUNA MAMBO HAYAKUKAA SAWA. 

If a bad thing will happen at a certain place and a righteous man/woman  is there without any information, something will be  probably wrong somewhere. 


* KAMA UKISIMAMA KATIKA NAFASI YAKO KWA UAMINIFU, BASI UFAHAMU YA KWAMBA UTALETA USALAMA SIO WAKO TU HATA WA WATU WAKO. (WALE WATAKAO SIKIA NA KUKUBALI KUTII)


If you faithfully stand at your position, you and your people will be safe but only if they'll listen and accept the truth. 


*MWANZO 19:12

*BASI WALE WATU WAKAMWAMBIA LUTU, JE! UNAYE MTU HAPA ZAIDI? MKWE, WANAO, NA BINTI ZAKO, NA WO WOTE ULIO NAO KATIKA MJI, UWATOE KATIKA MAHALI HAPA;


Genesis 19:12

And the men said unto Lot, Hast thou here any besides? son in law, and thy sons, and thy daughters, and whatsoever thou hast in the city, bring them out of this place:

ILI YATOKEE SHUGHULIKIA USIKU. DEALING WITH THE NIGHT TO BRING OUT RESULTS

ILI YATOKEE, SHUGHULIKIA USIKU


Dealing with the night to bring out results. 


•MAJIRA YALE AMBAYO ADUI ANAFIKIRI UMELALA HAPO NDIPO UNA AMKA NA KUIDAI HATMA YAKO MIKONONI MWA ADUI. 

When the enemy thinks you are asleep, it's when you rise and claim your destiny from the hands of your enemy. 

•KAMA MTOTO WA MUNGU UNAONA KUNA JARIBU LIMEKUKARIBIA USIHANGAIKE HUKU NA KULE. AU KULALAMIKA AU KULAUMU HAPANA!

As a child of God, whenever you find your self in temptation, don't begin to lament or deal with it like how others do.. No!

•AMKA USIKU IANDIKE HIYO HALI, HILO JARIBU, HUO MSIBA, HICHO KILIO, HAKIKISHA UNAKIANDIKA KWA MAPANA YAKE. 

Get up in the night, write that issue down, that pain, that cry and any sort of challenge you are through. Analyze it properly 

•USIZUNGUMZE NA WATU WENGI ANZA KUFANYIA KAZI. INGIA KWENYE MAOMBI.

Don't try to share it with many people.. just pray!! 

•KUNA BAADHI YA WATU UNAWEZA KUWAELEZA KUMBE WANAHUSIKA NA HALI UNAYOIPITIA.

Because some of the people you share with might be responsible with what you are going through.

•USIPO AMKA ADUI WALA HANA HURUMA. 

If you won't get up the enemy is merciless. 

•USIPO AMUA ADUI ATAENDELEA KUZOEA KUKUCHEKA.

If you don't decide the enemy will continue to mock you. 

NEHEMIA 2:12

KISHA NIKAONDOKA USIKU, MIMI NA WATU WACHACHE PAMOJA NAMI; WALA SIKUMWAMBIA MTU NENO HILI ALILOLITIA MUNGU WANGU MOYONI MWANGU, NILITENDE KWA AJILI YA YERUSALEMU; 


Nehemiah 2:12

And I arose in the night, I and some few men with me; neither told I any man what my God had put in my heart to do at Jerusalem: 

WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY

 ✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...