✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU
✓My people my responsibility
*NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKIWA YA FURAHA AU YA HUZUNI LAZIMA KUNA NAMNA YATAKUHUSU
It's important to understand that you'll be responsible for your people in everything. If they mourn or they celebrate in one way or another you'll be involved.
*IKIWA UTASIMAMA KWA UAMINIFU NA KATIKA MAJUKUMU YAKO YOTE BILA KUONA HAYA BASI WATU WAKO WATAKUA SALAMA WAKIISIKIA SAUTI YA MUNGU KUPITIA KWAKO.
If you'll faithfully stand and in all your responsibility may be (as a leader/father), your people will be safe if they'll listen to the voice of God as He speaks through you.
*INAWEZA TOKEA BAADHI YAO WASIKUSIKILIZE, HAO WATAPATA HASARA KUBWA! SIO YA MALI TU HUENDA HATA MAISHA YAO.
It might happen that they don't listen to you . They'll have great loss not only of material things or wealth but even their lives.
*KAMA JAMBO BAYA LITATOKEA MAHALI NA MCHA MUNGU YUPO NA IKAWA KIMYA AU BILA TAARIFA BASI KUNA MAMBO HAYAKUKAA SAWA.
If a bad thing will happen at a certain place and a righteous man/woman is there without any information, something will be probably wrong somewhere.
* KAMA UKISIMAMA KATIKA NAFASI YAKO KWA UAMINIFU, BASI UFAHAMU YA KWAMBA UTALETA USALAMA SIO WAKO TU HATA WA WATU WAKO. (WALE WATAKAO SIKIA NA KUKUBALI KUTII)
If you faithfully stand at your position, you and your people will be safe but only if they'll listen and accept the truth.
*MWANZO 19:12
*BASI WALE WATU WAKAMWAMBIA LUTU, JE! UNAYE MTU HAPA ZAIDI? MKWE, WANAO, NA BINTI ZAKO, NA WO WOTE ULIO NAO KATIKA MJI, UWATOE KATIKA MAHALI HAPA;
Genesis 19:12
And the men said unto Lot, Hast thou here any besides? son in law, and thy sons, and thy daughters, and whatsoever thou hast in the city, bring them out of this place: