Unclean spirits zinaudhi, kama zimekuudhi unahitaji uponyaji kabisa. Unapomuona mtu ameanza maudhi maudhi ana asilimia kadhaa za roho chafu kuwa ndani yake, Je mtu anaweza kuwa na mapepo na yasijioneshe?(manifest): ndio lakini anapo kaa au anapokutana na uwepo wa nguvu za Mungu zinaleta madhara kwahivyo hizo roho chafu zinajidhihirisha au zinaweza kumuamrisha aondoke eneo hilo.
Nguvu zikiendelea kumuishia basi ile roho chafu humtoka
A blog to share God's word and understanding God through the revelations and power of the holy spirit. We have heard many about Jesus Christ yet we need to hear more every day! Restoring hope of restoration through God's word. Strengthening every ones desire towards God's presence. Bringing hope to the left alone. Breaking chains of darkness Winning souls for Christ. Committing people's life to the service of God
Wednesday, December 16, 2020
Zifahamu roho chafu zinazoweza kumuingia mtu.
Saturday, November 2, 2019
How to deal with the death letter. Namna ya kushughulikia waraka/barua ya mauti.
Thursday, October 17, 2019
Siri ya kujazwa nguvu kila wakati. The secret of being filled with power all the time.
Bwana Yesu asifiwe!
Praise the be to Jesus!
I want we take a short time to the secrets of being filled with power ( holy spirit power) all the time.
Nataka tuchukue muda mfupi kuangalia siri za kujazwa nguvu ( nguvu za roho mtakatifu) kila wakati.
Tutazame maandiko...
Let's see the scriptures....
Marko 1:35
Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.
Mark 1:35
And in the morning, rising up a great while before day, he went out, and departed into a solitary place, and there prayed.
Tunamuona Yesu akiondoka alfajiri na mapema kujitenga mahali na kuomba.
-(Asubuhi na mapema = Inaonesha kitu cha kwanza kabisa na cha thamani)
-(Mahali pasipokuwa na watu= Inaonesha utulivu na kujitenga mbali na kila mawazo na fikra za tofauti zozote)
-(Kuomba=Inaonesha kumwitaji Mungu na kunyenyekea kwake)
We see Jesus departing in early morning to a solitary place and praying.
-(Early morning=Shows the first valuable thing)
-(Solitary place=Shows a quite place away from any disturbances and every disturbing thoughts)
-(Praying=Shows the humbled heart and one in need of God's assistance)
So before we take a leap to other secrets lets take a close look on to this one as a question..
Do you have time to refuel/refill and strengthen your spirit?
Yes you fasted last week but God has new things for you everyday!
Take time to a solitary place severally and your connection with the Holy spirit will be strong his powers will be coming out from you every time.
Hivyo kabla ya kupiga hatua kuangaliasiri zingine, tuangalie hii moja kama kwa swali...
Je una muda wako wa kujiimarisha? Na kuimarisha mahusiano yako na Mungu?
Ndio ulifunga wiki Jana lakini kumbuka Mungu anamambo mapya kwa ajili yako kila siku.
Chukua hatua uwe na muda wa kujitenga Mara kwa Mara na muunganiko wako na roho mtakatifu yataimarika sana zaidi nguvu zake zitatoka ndani yako kila siku kila saa..
Other secrets
-The word of God
Siri zingine
-Neno la Mungu
Be blessed as you follow.....
Ubarikiwe unavyozidi kufuatilia....
Why publishing everything to everyone? Kwanini utangaze kila kitu kwa kila mtu?
Should I publish and blaze about everything that God has done for me?
Je ni lazima nitangaze na niseme kila kitu alichonitendea Mungu?
Praise be to the Lord Jesus Christ!! Bwana Yesu Kristo asifiwe!!
Tunaishi katika dunia yenye mapambano mengi na vita vilivyojificha sana. Ni muhimu sana kushudia yale mambo Mungu amekutendea, lakini sio sheria ushuhudie kila kitu. Kumbuka sio watu wote wanaokusikiliza wanayafurahia hayo hivyo sababu hii inatupa msingi wa kuwa na kiasi katika kushuhudia/ kuyasema yale ambayo Mungu ametutendea.
We live in a world with so much wars and hidden battles. Yes it is important to share and publish the things that God has done for us yet its not necessarily a law that you must share everything.
Remember that not everyone that listens to you are happy and comfortable about what you share and publish. Then this gives us a foundation of the measure what we should share and what we shouldn't.
What do you share with whom do you share and when do you share!
Look at the scriptures....
Tazama maandiko....
Marko 1:44.
akamwambia, Angalia, usimwambie mtu neno lolote, ila enenda zako ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe alivyoamuru Musa kwa kutakasika kwako, iwe ushuhuda kwao.
Mark 1:44
And saith unto him, See thou say nothing to any man: but go thy way, shew thyself to the priest, and offer for thy cleansing those things which Moses commanded, for a testimony unto them.
Why speaking out everything?
Kwa nini utangaze kila kitu?
Je, utapata hasara gani au madhara gani katika hayo uyasemayo?
What are the effects of publishing or sharing what you shouldn't share?
Let's take a look at the scriptures again...
Tuangalie maandiko tena....
Marko 1:45
Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini kwa wazi; bali alikuwako nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila mahali.
Mark 1:45
But he went out, and began to publish it much, and to blaze abroad the matter, insomuch that Jesus could no more openly enter into the city, but was without in desert places: and they came to him from every quarter.
-We see here that Jesus could no longer enter the city openly.
-Tunaona hapa Yesu hakuweza tena kuingia mjini kwa wazi.
Its your time to evaluate your self, how many opportunities have you blocked out yourself by publishing everything, every time to everyone?, how many enemies have you increased through sharing what you were not supposed to share?
Ni muda wako wakujitathmini sasa, Ni fursa ngapi umejizibia kwa kutangaza kila kitu, kila Mara kwa kila mtu?, ni maadui wangapi umeongeza kwa kushirikisha na kutangaza yale ambayo hukupaswa kutangaza?
Be blessed as you continue following the word of life.
Ubarikiwe kama unavyoendelea kufuatilia neno la uzima.
Wednesday, October 16, 2019
MBEGU NA MAFANIKIO
MBEGU NA MAFANIKIO
Bwana Yesu asifiwe..
Karibu katika siku yetu ya EEMC.
EEMC
ishi kwa malengo, timiza malengo yako.
Mfano wa kwanza.
Machine ya ATM na kadi ya ATM,
Ili utoe hela au upate hela, inabidi uwe na; kadi, Uwezo wa kufikia mashine ya kutoa hela, neno la siri la akaunti husika na pesa kwenye hiyo akaunti.
Tukubaliane Kuwa kila malengo yanamchakato wa kuyatimiza, kama hujaweka mchakato wakuyatimiza inamaana bado hayajawa malengo.
Litambue, lielewe kusudi lako, na kusudi la kufanya chochote ufanyacho.
Purpose,. Kivipi utatimiza malengo?
Tambua majira yako,
Kila mwanadamu anamajira makubwa mawili,
1-Kupanda
2-Kuvuna
Majira haya yana vitu vifuatavyo.
•Kunakuwekeza
•Mbegu
•Kukua
•Akiba
Mbegu
Kila mbegu inamajira yake ya Kupandwa,mahali pa kupanda, na namna ya upandaji.
MAFANIKIO YANATEGEMEA UFAHAMU WAKO JUU YA MAJIRA YA MBEGU ULIYONAYO.
Mtu anayefanya mambo kinyume cha utaratibu ameshindwa kutambua kusudi.
Kuwekeza.
Kuwekeza kwa ajili yako, Take care of your body, kanuni ya kwanza ya uwekezaji ni kuwa na afya nzuri.
Kula vizuri, mwili wako ni sehemu ya kwanza ya uwekezaji.
Weka bajeti nzuri ya kila matumizi yako.
Akiba
Weka akiba kwa ajili ya wakati ujao, itakusaidia kwa ajili ya kesho.
Weka akiba ya kuwekeza kwa ajili ya kesho, ili uweze kufikia malengo ya maisha yako.
Ishi kwa malengo timiza malengo yako.
Wednesday, August 14, 2019
Confidence and Courage "Ev. Bernard Selemani.
What is your confidence??
Courage or Strength -
Means the heart to go on,
The mindset to dare
The faith towards your belief
The power to hold on despite of the challenge
1 Sam 17:31
Confidence means belief in your ability. Trusting that you can make it despite of the situation.
David a young man who was spirit filled had a courage and was confident to face Goliath with a strong determination of victory because he understood who/where his strength were from...
He gives some experience about several trials that came his way as a Father's shepherd and compares to the current trial and gets a great assurance of victory...
How does confidence come?
Confidence comes through...
1-Understanding who is within you. Acknowledge Your God !!!
2-Being righteous-doing what is right before God, this will give you favour before God moreover it will enhance your prayer/communication with God.
Living righteous life assures you of the power of God within you.
Sin draws away confidence.
Have you lost the courage,? Here is a second chance.
God is calling for your heart back to him again!
Running away from salvation won't help you get that courage and confidence back but either it will destruct you completely.
Change your mind, come back to the cross
Yes you have been abandoned, yes you have messed up a lot.!.
It is enough Get up again and God will rebuild your strength within seconds of your decision.
As a believer make sure that you do what God said and if in anyway you are weak keep in mind that any weakness you got is not a guarantee for you to miss attend any program or calling that God has placed on you.
Let your Courage and strength be restored in Jesus mighty name
............ AMEN ................
Thursday, August 1, 2019
MBEGU NA MAFANIKIO
MBEGU NA MAFANIKIO
Bwana Yesu asifiwe..
Karibu katika siku yetu ya EEMC.
EEMC
ishi kwa malengo, timiza malengo yako.
Mfano wa kwanza.
Machine ya ATM na kadi ya ATM,
Ili utoe hela au upate hela, inabidi uwe na; kadi, Uwezo wa kufikia mashine ya kutoa hela, neno la siri la akaunti husika na pesa kwenye hiyo akaunti.
Tukubaliane Kuwa kila malengo yanamchakato wa kuyatimiza, kama hujaweka mchakato wakuyatimiza inamaana bado hayajawa malengo.
Litambue, lielewe kusudi lako, na kusudi la kufanya chochote ufanyacho.
Purpose,. Kivipi utatimiza malengo?
Tambua majira yako,
Kila mwanadamu anamajira makubwa mawili,
1-Kupanda
2-Kuvuna
Majira haya yana vitu vifuatavyo.
•Kunakuwekeza
•Mbegu
•Kukua
•Akiba
Mbegu
Kila mbegu inamajira yake ya Kupandwa,mahali pa kupanda, na namna ya upandaji.
MAFANIKIO YANATEGEMEA UFAHAMU WAKO JUU YA MAJIRA YA MBEGU ULIYONAYO.
Mtu anayefanya mambo kinyume cha utaratibu ameshindwa kutambua kusudi.
Kuwekeza.
Kuwekeza kwa ajili yako, Take care of your body, kanuni ya kwanza ya uwekezaji ni kuwa na afya nzuri.
Kula vizuri, mwili wako ni sehemu ya kwanza ya uwekezaji.
Weka bajeti nzuri ya kila matumizi yako.
Akiba
Weka akiba kwa ajili ya wakati ujao, itakusaidia kwa ajili ya kesho.
Weka akiba ya kuwekeza kwa ajili ya kesho, ili uweze kufikia malengo ya maisha yako.
Ishi kwa malengo timiza malengo yako.
WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY
✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...
-
Bwana Yesu asifiwe ., Kabla ya yote naanza kwa swali hili,. Ni nini maana ya kuomba sana? Nakwanini hatupati majibu? Swal...
-
YOHANA 4:47. JOHN 4:47 When he heard that Jesus was come out of Judaea into Galilee, he went unto him, and besought him that he would come ...
-
IMPORTANT CHARACTERISTICS FOR GOD'S SERVANTS. Greetings in the name of Jesus brethren! Praise the Lord!! I want to share God's ...
-
Na .Mwl Wetu.. Bwana Yesu asifiwe. Developing Devotional relationship with God Kuna aina saba za mahusiano 1: Wewe na Mungu 2: Wewe na...
-
Namshukuru Mungu Kwa kutuvusha tena Kwa ushindi mwaka huu. • Utangulizi Wakati najiandaa na kumuomba Mungu juu ya Yale ninayotamani kuyafan...
-
UAMINIFU . BWANA YESU ASIFIWE !! Na Mwl .... .....Karibu katika somo letu la uaminifu..... Mwisho wa somo hil...
-
Bwana Yesu asifiwe! Nakusalimu kupitia jina kuu la Bwana Yesu. Napenda tushirikiane ujumbe mfupi kwa habar ya makosa yalimgharimu Musa. ...