Should I publish and blaze about everything that God has done for me?
Je ni lazima nitangaze na niseme kila kitu alichonitendea Mungu?
Praise be to the Lord Jesus Christ!! Bwana Yesu Kristo asifiwe!!
Tunaishi katika dunia yenye mapambano mengi na vita vilivyojificha sana. Ni muhimu sana kushudia yale mambo Mungu amekutendea, lakini sio sheria ushuhudie kila kitu. Kumbuka sio watu wote wanaokusikiliza wanayafurahia hayo hivyo sababu hii inatupa msingi wa kuwa na kiasi katika kushuhudia/ kuyasema yale ambayo Mungu ametutendea.
We live in a world with so much wars and hidden battles. Yes it is important to share and publish the things that God has done for us yet its not necessarily a law that you must share everything.
Remember that not everyone that listens to you are happy and comfortable about what you share and publish. Then this gives us a foundation of the measure what we should share and what we shouldn't.
What do you share with whom do you share and when do you share!
Look at the scriptures....
Tazama maandiko....
Marko 1:44.
akamwambia, Angalia, usimwambie mtu neno lolote, ila enenda zako ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe alivyoamuru Musa kwa kutakasika kwako, iwe ushuhuda kwao.
Mark 1:44
And saith unto him, See thou say nothing to any man: but go thy way, shew thyself to the priest, and offer for thy cleansing those things which Moses commanded, for a testimony unto them.
Why speaking out everything?
Kwa nini utangaze kila kitu?
Je, utapata hasara gani au madhara gani katika hayo uyasemayo?
What are the effects of publishing or sharing what you shouldn't share?
Let's take a look at the scriptures again...
Tuangalie maandiko tena....
Marko 1:45
Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini kwa wazi; bali alikuwako nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila mahali.
Mark 1:45
But he went out, and began to publish it much, and to blaze abroad the matter, insomuch that Jesus could no more openly enter into the city, but was without in desert places: and they came to him from every quarter.
-We see here that Jesus could no longer enter the city openly.
-Tunaona hapa Yesu hakuweza tena kuingia mjini kwa wazi.
Its your time to evaluate your self, how many opportunities have you blocked out yourself by publishing everything, every time to everyone?, how many enemies have you increased through sharing what you were not supposed to share?
Ni muda wako wakujitathmini sasa, Ni fursa ngapi umejizibia kwa kutangaza kila kitu, kila Mara kwa kila mtu?, ni maadui wangapi umeongeza kwa kushirikisha na kutangaza yale ambayo hukupaswa kutangaza?
Be blessed as you continue following the word of life.
Ubarikiwe kama unavyoendelea kufuatilia neno la uzima.