#Moyo uliowazi ni rahisi kufanya ibada halisi, *#Watapanda madhabahuni pangu kwa kibali*
#Kila mtu anayemtumikia Mungu, kipo kibali alichowahi kua nacho au pengine anachobado, na ipo neema inayomuwezesha kuwa mtenda kazi pamoja na Kristo,. Hichi kibali kimedanganya wengi wakaenda mbele za Mungu kwa mazoea na huku mioyo yao imefarakana na Mungu,. Nakusihi kwa upendo wake Kristo hakikisha moyo wako umepatana na Mungu kabla hujasimama mbele zake kumtumikia kwa lolote lile, hakikisha kuna uhusiano ulio hai kati yako na Mungu
A blog to share God's word and understanding God through the revelations and power of the holy spirit. We have heard many about Jesus Christ yet we need to hear more every day! Restoring hope of restoration through God's word. Strengthening every ones desire towards God's presence. Bringing hope to the left alone. Breaking chains of darkness Winning souls for Christ. Committing people's life to the service of God
Sunday, March 10, 2019
#Ibada_halisi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY
✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...
-
Bwana Yesu asifiwe ., Kabla ya yote naanza kwa swali hili,. Ni nini maana ya kuomba sana? Nakwanini hatupati majibu? Swal...
-
YOHANA 4:47. JOHN 4:47 When he heard that Jesus was come out of Judaea into Galilee, he went unto him, and besought him that he would come ...
-
IMPORTANT CHARACTERISTICS FOR GOD'S SERVANTS. Greetings in the name of Jesus brethren! Praise the Lord!! I want to share God's ...
-
Na .Mwl Wetu.. Bwana Yesu asifiwe. Developing Devotional relationship with God Kuna aina saba za mahusiano 1: Wewe na Mungu 2: Wewe na...
-
Namshukuru Mungu Kwa kutuvusha tena Kwa ushindi mwaka huu. • Utangulizi Wakati najiandaa na kumuomba Mungu juu ya Yale ninayotamani kuyafan...
-
UAMINIFU . BWANA YESU ASIFIWE !! Na Mwl .... .....Karibu katika somo letu la uaminifu..... Mwisho wa somo hil...
-
Bwana Yesu asifiwe! Nakusalimu kupitia jina kuu la Bwana Yesu. Napenda tushirikiane ujumbe mfupi kwa habar ya makosa yalimgharimu Musa. ...
No comments:
Post a Comment