Sunday, March 10, 2019

#Ibada_halisi

#Moyo uliowazi ni rahisi kufanya ibada halisi, *#Watapanda madhabahuni pangu kwa kibali*
#Kila mtu anayemtumikia Mungu, kipo kibali alichowahi kua nacho au pengine anachobado, na ipo neema inayomuwezesha kuwa mtenda kazi pamoja na Kristo,. Hichi kibali kimedanganya wengi wakaenda mbele za Mungu kwa mazoea na huku mioyo yao imefarakana na Mungu,. Nakusihi kwa upendo wake Kristo hakikisha moyo wako umepatana na Mungu kabla hujasimama mbele zake kumtumikia kwa lolote lile, hakikisha kuna uhusiano ulio hai kati yako na Mungu

Thursday, March 7, 2019

SIRI YA KUOMBA na kujibiwa.

                Bwana Yesu asifiwe.,
Kabla ya yote naanza kwa swali hili,. Ni nini maana ya kuomba sana? Nakwanini hatupati majibu?
Swali letu kuu,."Kwanini tunaomba sana lakini hatujibiwi?
.,Mchango wa watumishi mbalimbali kuhusu swali hili ni kama ifatavyo,.
  
         Sababu za kuomba na kutojibiwa.
       °°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°

1-Imani., bila imani hatuwezi kupokea chochote. Hata kumpendeza Mungu,.
2-Maisha yetu halisi,. Ukwel ni kwamba maombi ya asiye haki ni kelele mbele za Mungu, hivyo watu wengi huenda mbele za Mungu wakiwa tayari wapo mbali sana nae kutokana na maisha yao halisi,. Yani mtu anaomba lakini ndani ya moyo wake hajaamua kuacha dhambi moja kwa moja hivyo anaonekana mnafiki.
3-Ufahamu, juu ya nyakati
Mungu wetu anatenda mambo kwa wakati wake na wakati wake ni mkamilifu, Kuna mambo hatujaweza kuyamudu na tunayaomba hivyo Mungu anakua kimya kwa sababu wakati bado.,
4:Ufahamu juu ya haki zetu
Hatujui haki zetu na hatujui namna ya kuzipata hivyo tunaanza kushughulika na mambo ambayo ilipaswa yatufuate tu kwa kuenenda sawasawa na neno la Mungu,
5-#Tunaomba vibaya, kwa tamaa zetu au nje ya mapenzi ya Mungu.
*-Kutotenda wajibu wetu,
Wakristo wa sasa wapo walioacha wajibu wao na unaweza kumkuta mtu anaomba wajibu wake,
6-tunamajibu yetu
Mara nyingi tunategemea majibu Fulani tunapomuomba Mungu then Yakima tofauti tunaona Mungu hajatujibu kumbe hayakua majibu sahihi, au hakukua na usalama katika hayo yetu.

Nyongeza,.,.,
Kuna vitu sio vya kuomba,.
Maombi sio jumla ya kilakitu, maombi ni kwaajil ya kupata vile unavyopaswa kuomba tu,. Ila vingine sio vyakuomba.,

7-Haraka
Tunaharaka ya kutoka uwepon mwa Bwana.tunapeleka taarifa na hatufanyi maombi,. Hivyo hatusubiri tuzungumze na Mungu.
8-Tunda la roho limepungua ndani yetu.
Tumekosa uvumilivu, unyenyekevu, hata hivyo bidii hatuna,.
9-Kuomba na kufunga
Yapo mambo ambayo ili yatoke inapaswa kufunga na kuomba,. Leo baadhi ya watu hawataki kabisa kufunga na kuomba,. Na wengine hawamaanishi,.
Marejeo.
___________
Ufahamu., *zaburi 25::
Waamuzi 20:17
*Note*
Mafanikio ya huduma yeyote hayategemei wito peke yake Bali ni pamoja maombi.
+++++
2 Nyakat7:14
Mathayo 7:7 Tumeitwa tuombe mbele za Mungu,.

    Be blessed,. Comment and share
Visit davidkalebi@blogspot.com

Friday, February 22, 2019

Fellowship

*Worshippers should express what's their life style, exalt God at the altar as they do it in their everyday life.*
#Fellowship. Worshipping God is a serious issue.
*#Don't pretend to be in the presence of God while your heart knows the next step after here am going for sin. Come out and repent, Jesus loves you.*
  

Sunday, June 17, 2018

AMPLIFIER

   
       Amplifier comes from the verb amplify,, it is normally a device used to raise or increase the electric signals example  sound amplifier.. It can also be explained as a device that is used to boost a small signal.
  Our God is able to amplify the small signals when we walk in faith and let him do it.
  2 Kings 7:3
Basi walikuwapo watu wanne wenye ukoma, penye lango la mji; wakasemezana, Mbona tunakaa hapa hata tufe?
And there were four leprous men at the entering in of the gate: and they said one to another, Why sit we here until we die?
2 Kings 7:6
Kwa maana Bwana alikuwa amewasikizisha Washami kishindo cha miendo ya magari, na kishindo cha farasi, kama kishindo cha jeshi kubwa; wakaambiana, Tazama, mfalme wa Israeli amewaajiri wafalme wa Wahiti, na wafalme wa Wamisri, waje wapigane nasi.
For the LORD had made the host of the Syrians to hear a noise of chariots, and a noise of horses, even the noise of a great host: and they said one to another, Lo, the king of Israel hath hired against us the kings of the Hittites, and the kings of the Egyptians, to come upon us.
 
 
  See here God used the little signals of the four Leprous men, and made it like noise of chariots and of horses,,
Make a step today because God has never failed he is going to do it again despite of what you see that you call it reality!!! Heeey! Brethren!!! God has not failed he is waiting for your step of faith

  STEP IN !!!!     WHEN YOU PRAY, DO IT IN FAITH, WHEN YOU STUDY DO IT IN FAITH, WHEN YOU DO BUSINESS DO IT IN FAITH, WHEN YOU WALK DO IT IN FAITH, WHATEVER YOU INVEST YOUR TIME IN!! DO IT IN FAITH!!! BECAUSE GOD IS GOING TO AMPLIFY AND BLESSINGS COMING ARE UNEXPLAINABLE !!! MEANING PEOPLE WONT BE ABLE TO FIGURE OUT HOW IT APPEARED AND your self shall not be able to explain in details what happened... Take a step brethren because God will amplify your little signal through faith!!!!! Hallelujah.... Decide now and get into a step of faith!!!. And let you see the results of your little step ...
.

Monday, June 4, 2018

BATTLE AGAINST SIN

A normal sinner(a person who does sin always and is just flexible in it) is available whenever the devil wants him or her and oftenly a normal sinner is under devil's slavery life.   A battle arise when one wants to stay away from sin because the devil is loosing his worker and somethings in his kingdom are failing.
    In a normal circumstances companies and associations have managers and administrations to ensure that the goals are efficiently reached, therefore in the same way the devil has put task masters to ensure that God's purpose in one's life is not efficiently fulfilled.
  The bible explains how the Egyptians kept taskmasters to ensure that the Israelites will suffer enough.. In the same way the devil is troubling many people's life perhaps even you!!
  Some starting points to note when battling against sin
1. Who are your friends?
2. How do you spend your time?
   Friends can influence your behavior
Friends impart to each other whatever they have in them. So you have to ask yourself do I influence my friends positively? Or they influence me? And how do they influence me??
   The people we live with, the one we share experiences with, the one we listen to, all that have great influence on our behavior...
  Avoid Idleness
Some people think that idleness is just being without a work or just free.. But I went far thinking that idleness is even doing what is not planned!! If idle mind is devil's workshop then there are some people who are not directly idle but they do things in a devils plan then they fall in a trap.   More over being idle gives the devil a clear platform (mind) in you to be used injecting his poisonous thoughts...
  
  After you are born again or saved you issue changes Judges 6:14 . When the Israelites did wrong before God, God himself delivered them to the Midians.. So after you are saved conducting sins you become the devils point of interest and this was the reason we are supposed to live equipped and spiritually strong every time.
Battling against sin is not a simple process and or a one day process, it is continuous process, everyday every time .
     Hate sin
Battling against sin requires you to hate it and support not the ones that are doing it.
Continues.....

WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY

 ✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...