Saturday, March 30, 2019

Viburi flow

      
Jipime kwa mawazo yako, nia ya moyo wako unapofanya jambo lolote ufanyalo, kusudio lako la ndani unapoamua kusema chochote unachosema na uhalisia wa muonekano wako unalenga nini? Jipime kama unauwezo wa kugeuka na kutubu,kama unaweza kusikiliza wengine kama unaweza kupokea maelekezo na kusikiliza hata kama unajua sana, jipime kama unaweza kuwapa wengine nafasi,? Je unajiona we we bora sana? Uko sahihi kama unaona wengine pia ni bora mno, *#Moyo wakunyenyekea
    Bwana Huwapinga wenye kiburi Bali huwapa wanyenyekevu neema.

Friday, March 29, 2019

Purposeful life.

               Numbers 10:1- - -

Everything that God made he made it for a purpose.
Something's he made himself and others he gave man ability to make.
   Something's he gave them one purpose, others two and others more than two,.

*Unless you do what you were designated to do.
*Unless you act how you were designated to act.  
*Unless you live how you were designated to live.
   You will not sustain trials, temptations, competitions, and challenges on your way.
   BE WHAT GOD HAS PLANNED YOU TO BE
   Come on !! God brought you on earth for Peculiar mission!! Fulfil it.
     Get up and understand that no one has ever had what God stored in you, and if anyone has had that uniqueness in you why would God brought you on earth?? You were created for a purpose and you are the only one to do it peculiarly.
......See you at the Top......

Sunday, March 10, 2019

#Ibada_halisi

#Moyo uliowazi ni rahisi kufanya ibada halisi, *#Watapanda madhabahuni pangu kwa kibali*
#Kila mtu anayemtumikia Mungu, kipo kibali alichowahi kua nacho au pengine anachobado, na ipo neema inayomuwezesha kuwa mtenda kazi pamoja na Kristo,. Hichi kibali kimedanganya wengi wakaenda mbele za Mungu kwa mazoea na huku mioyo yao imefarakana na Mungu,. Nakusihi kwa upendo wake Kristo hakikisha moyo wako umepatana na Mungu kabla hujasimama mbele zake kumtumikia kwa lolote lile, hakikisha kuna uhusiano ulio hai kati yako na Mungu

Thursday, March 7, 2019

SIRI YA KUOMBA na kujibiwa.

                Bwana Yesu asifiwe.,
Kabla ya yote naanza kwa swali hili,. Ni nini maana ya kuomba sana? Nakwanini hatupati majibu?
Swali letu kuu,."Kwanini tunaomba sana lakini hatujibiwi?
.,Mchango wa watumishi mbalimbali kuhusu swali hili ni kama ifatavyo,.
  
         Sababu za kuomba na kutojibiwa.
       °°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°

1-Imani., bila imani hatuwezi kupokea chochote. Hata kumpendeza Mungu,.
2-Maisha yetu halisi,. Ukwel ni kwamba maombi ya asiye haki ni kelele mbele za Mungu, hivyo watu wengi huenda mbele za Mungu wakiwa tayari wapo mbali sana nae kutokana na maisha yao halisi,. Yani mtu anaomba lakini ndani ya moyo wake hajaamua kuacha dhambi moja kwa moja hivyo anaonekana mnafiki.
3-Ufahamu, juu ya nyakati
Mungu wetu anatenda mambo kwa wakati wake na wakati wake ni mkamilifu, Kuna mambo hatujaweza kuyamudu na tunayaomba hivyo Mungu anakua kimya kwa sababu wakati bado.,
4:Ufahamu juu ya haki zetu
Hatujui haki zetu na hatujui namna ya kuzipata hivyo tunaanza kushughulika na mambo ambayo ilipaswa yatufuate tu kwa kuenenda sawasawa na neno la Mungu,
5-#Tunaomba vibaya, kwa tamaa zetu au nje ya mapenzi ya Mungu.
*-Kutotenda wajibu wetu,
Wakristo wa sasa wapo walioacha wajibu wao na unaweza kumkuta mtu anaomba wajibu wake,
6-tunamajibu yetu
Mara nyingi tunategemea majibu Fulani tunapomuomba Mungu then Yakima tofauti tunaona Mungu hajatujibu kumbe hayakua majibu sahihi, au hakukua na usalama katika hayo yetu.

Nyongeza,.,.,
Kuna vitu sio vya kuomba,.
Maombi sio jumla ya kilakitu, maombi ni kwaajil ya kupata vile unavyopaswa kuomba tu,. Ila vingine sio vyakuomba.,

7-Haraka
Tunaharaka ya kutoka uwepon mwa Bwana.tunapeleka taarifa na hatufanyi maombi,. Hivyo hatusubiri tuzungumze na Mungu.
8-Tunda la roho limepungua ndani yetu.
Tumekosa uvumilivu, unyenyekevu, hata hivyo bidii hatuna,.
9-Kuomba na kufunga
Yapo mambo ambayo ili yatoke inapaswa kufunga na kuomba,. Leo baadhi ya watu hawataki kabisa kufunga na kuomba,. Na wengine hawamaanishi,.
Marejeo.
___________
Ufahamu., *zaburi 25::
Waamuzi 20:17
*Note*
Mafanikio ya huduma yeyote hayategemei wito peke yake Bali ni pamoja maombi.
+++++
2 Nyakat7:14
Mathayo 7:7 Tumeitwa tuombe mbele za Mungu,.

    Be blessed,. Comment and share
Visit davidkalebi@blogspot.com

WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY

 ✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...