Jipime kwa mawazo yako, nia ya moyo wako unapofanya jambo lolote ufanyalo, kusudio lako la ndani unapoamua kusema chochote unachosema na uhalisia wa muonekano wako unalenga nini? Jipime kama unauwezo wa kugeuka na kutubu,kama unaweza kusikiliza wengine kama unaweza kupokea maelekezo na kusikiliza hata kama unajua sana, jipime kama unaweza kuwapa wengine nafasi,? Je unajiona we we bora sana? Uko sahihi kama unaona wengine pia ni bora mno, *#Moyo wakunyenyekea
Bwana Huwapinga wenye kiburi Bali huwapa wanyenyekevu neema.
A blog to share God's word and understanding God through the revelations and power of the holy spirit. We have heard many about Jesus Christ yet we need to hear more every day! Restoring hope of restoration through God's word. Strengthening every ones desire towards God's presence. Bringing hope to the left alone. Breaking chains of darkness Winning souls for Christ. Committing people's life to the service of God
Saturday, March 30, 2019
Viburi flow
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY
✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...
-
Bwana Yesu asifiwe ., Kabla ya yote naanza kwa swali hili,. Ni nini maana ya kuomba sana? Nakwanini hatupati majibu? Swal...
-
YOHANA 4:47. JOHN 4:47 When he heard that Jesus was come out of Judaea into Galilee, he went unto him, and besought him that he would come ...
-
IMPORTANT CHARACTERISTICS FOR GOD'S SERVANTS. Greetings in the name of Jesus brethren! Praise the Lord!! I want to share God's ...
-
Na .Mwl Wetu.. Bwana Yesu asifiwe. Developing Devotional relationship with God Kuna aina saba za mahusiano 1: Wewe na Mungu 2: Wewe na...
-
Namshukuru Mungu Kwa kutuvusha tena Kwa ushindi mwaka huu. • Utangulizi Wakati najiandaa na kumuomba Mungu juu ya Yale ninayotamani kuyafan...
-
UAMINIFU . BWANA YESU ASIFIWE !! Na Mwl .... .....Karibu katika somo letu la uaminifu..... Mwisho wa somo hil...
-
Bwana Yesu asifiwe! Nakusalimu kupitia jina kuu la Bwana Yesu. Napenda tushirikiane ujumbe mfupi kwa habar ya makosa yalimgharimu Musa. ...
No comments:
Post a Comment