Saturday, April 6, 2019

Heshimu ibada

*I believe 😊*  Ukianza kuona ibada sio muhimu sana kuliko masomo, kuliko kazi, biashara, n.k ujue kabisa unapaswa kufanya scanning ya iyo roho ngeni iliyokuingia kwa siri.     *#heshimu ibada, nenda ibadani, wahi ibadani, maanisha kuwepo ibadani, vaa kwa heshima ibadani, Fanya ulichokifuata ibadani, muabudu Mungu katika roho na kweli, usitoke kama ulivyoingia Bali utoke na badiliko kwa kupiga hatua zaidi kiroho, kiufahamu, kiafya, kiuchumi, ibada ni zaidi ya kitu muhimu kwako.* @davidek

No comments:

Post a Comment

WATU WANGU WAJIBU WANGU. MY PEOPLE MY RESPONSIBILITY

 ✓ WATU WANGU WAJIBU WANGU ✓My people my responsibility *NI MUHIMU KUFAHAMU KWAMBA UNATAWAJIBIKA KWA WATU WAKO KATIKA MAMBO YOTE. YAANI YAKI...